Kombe la Dunia 2018: Denmark 1-0 Peru


Poulsen akisherehekea kufunga

Furaha ya kufunga: Yusuf Poulsen alivyosherehekea

Mchezaji ambaye babake ni Mtanzania Yusuf Yurary Poulsen ndiye aliyefunga bao pekee mechi kati ya Denmark na Peru.

Alifunga dakika ya 59.


Akisherehekea na wenzake

Mechi yamalizika Denmark 1-0 Peru

Mechi imemalizika Peru wakiwa na mpira wa kurusha. Walikuwa wamezidisha mashambulizi.


Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.