Kombe la Dunia 2018: Denmark 1-0 Peru
Poulsen akisherehekea kufunga
Furaha ya kufunga: Yusuf Poulsen alivyosherehekea
Mchezaji ambaye babake ni Mtanzania Yusuf Yurary Poulsen ndiye aliyefunga bao pekee mechi kati ya Denmark na Peru.
Alifunga dakika ya 59.
Akisherehekea na wenzake
Mechi yamalizika Denmark 1-0 Peru
Mechi imemalizika Peru wakiwa na mpira wa kurusha. Walikuwa wamezidisha mashambulizi.
Leave a Comment